Msenegali mwingine atua Azam Fc

Joel JJ By Joel JJ β€’ 4th July 2023


Msenegali mwingine atua Azam Fc

Azam Fc wametangaza kukamilisha usajili wa mshambuliaji Alassane Diao raia wa Senegal

Diao ametua Azam Fc akitokea klabu ya US Goree inayoshiriki ligi kuu ya Senegal

Diao anatajwa kuwa pendekezo la Kocha Mkuu wa Azam Fc Youssouph Dabo


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.