Azam Fc wametangaza kukamilisha usajili wa mshambuliaji Alassane Diao raia wa Senegal
Diao ametua Azam Fc akitokea klabu ya US Goree inayoshiriki ligi kuu ya Senegal
Diao anatajwa kuwa pendekezo la Kocha Mkuu wa Azam Fc Youssouph Dabo

Azam Fc wametangaza kukamilisha usajili wa mshambuliaji Alassane Diao raia wa Senegal
Diao ametua Azam Fc akitokea klabu ya US Goree inayoshiriki ligi kuu ya Senegal
Diao anatajwa kuwa pendekezo la Kocha Mkuu wa Azam Fc Youssouph Dabo

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.