Simba yatangaza kocha wa makipa

Joel JJ By Joel JJ β€’ 6th July 2023


Simba yatangaza kocha wa makipa

Aliyekuwa Kocha wa magolikipa Azam Fc, Daniel Cadena ametua Simba kuwa Kocha mpya wa magolikipa

Simba imethibtisha ujio wa Cadena ambaye ni Kocha mwenye leseni ya UEFA

Ni katika mkakati wa Simba kuboresha benchi la ufundi baada ya kuwaondoa baadhi ya makocha mwezi uliopita


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.