Aliyekuwa Kocha wa magolikipa Azam Fc, Daniel Cadena ametua Simba kuwa Kocha mpya wa magolikipa
Simba imethibtisha ujio wa Cadena ambaye ni Kocha mwenye leseni ya UEFA
Ni katika mkakati wa Simba kuboresha benchi la ufundi baada ya kuwaondoa baadhi ya makocha mwezi uliopita




