Chelsea - International

Azpilicueta amaliza zama Chelsea

Joel JJ By Joel JJ
β€’
7 Jul 2023
Azpilicueta amaliza zama Chelsea

Jana klabu ya Chelsea ilimuaga nahodha wake Cesar Azpilicueta baada ya takribani miaka 11 darajani

Mwenyekiti wa Chelsea, Toddy Boehly na mmiliki wa Behdad Eghbali wamesema kuondoka kwa Cesar ni heshima kwa klabu hiyo

Azpilicueta ameondoka kama mshindi na mchezaji mwenye heshima kubwa. Mhispania huyo ameripotiwa kuwa huenda akajiunga na Atletico Madrid baada ya kukubali mkataba wa miaka miwili kama mchezaji huru

Taarifa ya Chelsea pia imempongeza beki huyo ambaye alijiunga na klabu hiyo mwaka 2012 akitokea Marseille ya Ufaransa. Akiwa Chelsea Cesar amecheza michezo 508, ameshinda mataji tisa, amecheza chini ya makocha tisa tofauti akiwa Stanford

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
3h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
3h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
4h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
7h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
11h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
11h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
12h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
12h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
13h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
14h ago
READ MORE β†’