Simba - Local - Transfer

Simba yashusha beki Mcameroon

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Jul 2023
Simba yashusha beki Mcameroon

Ni rasmi Simba imekamilisha usajili wa beki kisiki Che Fondoh Malone Junior kutoka klabu ya Cotton Sport, mabingwa wa Ligi Kuu ya Cameroon

Usajili mkubwa, usajili wa gharama kubwa ambao Wanamsimbazi wameusubiri kwa hamu, hatimaye ametambulishwa leo

Huyu ndiye mrithi wa Joash Onyango ambaye ameruhusiwa kwenda kumaliza mkataba wake kunako klabu ya Singida FG

Malone mwenye umri wa miaka 24, ndiye mchezaji bora wa ligi kuu ya Cameroon katika msimu uliopita

Ujio wake unawapa Wanasimba amani kuwa sasa watakuwa na watu wa kazi katika safu ya ulinzi hasa kwenye mechi za Kimataifa kuanzia CAF Super League na Ligi ya Mabingwa

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
30m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
42m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’