Bayern Munich wanatarajiwa kutoa ofa nzuri zaidi yenye thamani ya karibu pauni milioni 70 kwa ajili ya mshambuliaji wa England Harry Kane lakini ofa hiyo haiwezi kufikia thamani ya Tottenham, licha ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 kusalia na mwaka mmoja kwenye mkataba wake. (Mail on Sunday)
..... download Xtra 90 App



