Stars inawezekana kombe la Dunia 2026

Joel JJ By Joel JJ β€’ 14th July 2023


Stars inawezekana kombe la Dunia 2026

Droo ya makundi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 imechezeshwa jana jijini Abidjan, Ivory Coast

Stars ikipangwa kundi E ikiwa pamoja na timu tano ambazo ni Morocco ambayo ilifika nusu fainali Kombe la Dunia 2022, Zambia, Congo, Niger na Eritrea

Kombe la Dunia mwaka 2026 litashirikisha timu 48, Afrika ikiwa na nafasi ya kutoa timu tisa

Timu itakayomaliza kinara wa kundi itajihakikishia tiketi ya kushiriki michuano hiyo


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.