Droo ya makundi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 imechezeshwa jana jijini Abidjan, Ivory Coast
Stars ikipangwa kundi E ikiwa pamoja na timu tano ambazo ni Morocco ambayo ilifika nusu fainali Kombe la Dunia 2022, Zambia, Congo, Niger na Eritrea
Kombe la Dunia mwaka 2026 litashirikisha timu 48, Afrika ikiwa na nafasi ya kutoa timu tisa
Timu itakayomaliza kinara wa kundi itajihakikishia tiketi ya kushiriki michuano hiyo



