Yanga - Local - Transfer

Mayele kutimkia Misri

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Jul 2023
Mayele kutimkia Misri

Mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele atajiunga na Pyramids Fc ya Misri baada ya makubaliano kufikiwa, imefahamika

Mayele alishafikia makubaliano binafsi ya Pyramids wiki kadhaa zilizopita, timu hiyo imekamilisha mazungumzo na Yanga baada ya kukubaliana ada ya uhamisho

Katika uhamisho wa Mayele kwenda Pyramids Yanga inatarajiwa kuvuna takribani Tsh Bil 2.8 na kumfanya Mayele kuwa mchezaji ghali zaidi kuwahi kununua timu za Tanzania akimpiku Luis Miquissone ambaye usajili wake kutoka Simba kwenda Al Ahly uliingizia Simba Tsh Bilioni 2

Pamoja na kuwa bado Yanga hawajatangaza taarifa rasmi kuhusu Mayele kuondoka, lakini ni suala la muda tu kwani wako kwenye mchakato wa kusajili mshambuliaji mwingine kuziba nafasi yake

Afisa Habari wa Yanga Ali Kamwe amesema timu hiyo inatarajiwa kutangaza usajili wa wachezaji wanne wiki hii ambapo mmoja ni usajili wa ndani na watatu ni nyota wa kigeni

Miongoni mwa wachezaji hao, wawili watakuwa washambuliaji

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’