Jana Azam Fc ilicheza mechi ya pili ya kirafiki katika pre-season yao huko Tunisia
Ulikuwa mchezo dhidi ya Esperance, wababe wa Tunisia ambao msimu uliopita walicheza nusu fainali ya ligi ya mabingwa
Azam Fc walikubali kipigo cha mabao 3-0 katika mchezo ambao uliwadhihirishia kuwa bado wana kazi ya kufanya kwenye viwanja vya mazoezi
Azam Fc walipata ushindi kama huo dhidi ya Al Hilal katika mchezo wao wa kwanza uliopigwa hukohuko Tunisia



