Azam Fc hoi mbele ya Esperance

Joel JJ By Joel JJ β€’ 20th July 2023


Azam Fc hoi mbele ya Esperance

Jana Azam Fc ilicheza mechi ya pili ya kirafiki katika pre-season yao huko Tunisia

Ulikuwa mchezo dhidi ya Esperance, wababe wa Tunisia ambao msimu uliopita walicheza nusu fainali ya ligi ya mabingwa

Azam Fc walikubali kipigo cha mabao 3-0 katika mchezo ambao uliwadhihirishia kuwa bado wana kazi ya kufanya kwenye viwanja vya mazoezi

Azam Fc walipata ushindi kama huo dhidi ya Al Hilal katika mchezo wao wa kwanza uliopigwa hukohuko Tunisia


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.