Simba - Local

Simba yalazimishwa sare mechi ya kirafiki Uturuki

Joel JJ By Joel JJ
β€’
24 Jul 2023
Simba yalazimishwa sare mechi ya kirafiki Uturuki

Mchezo wa kwanza wa kirafiki katika pre-season ya Simba huko Uturuki dhidi ya Zira Fc, umemalizika kwa matokeo ya sare ya bao 1-1

Simba ilikuwa ya kwanza kufunga bao la kuongoza kupitia kwa Kibu Denis aliyemalizia pasi murua ya Saido Ntibazonkiza

Bao la Zira Fc inayoshiriki ligi kuu ya Azerbaijan, lilifungwa na Rustam Ahmadzade

Katika mchezo huo Simba ilianza na Ali Salim, Shomari Kapombe, Mohammed Hussein, Hennock Inonga, Che Malone, Mzamiru Yassin, Kibu Denis, Sadio Kanoute, Moses Phiri, Saido Ntibazonkiza na Willy Onana

Katika kipindi cha Aubin Kramo aliingia kuchukua nafasi ya Phiri, Clatous Chama akaingia nafasi ya Onana, Bocco akaingia kuchukua nafasi ya Kramo aliyepata majeraha, Fabrice Ngoma akaingia nafasi ya Sadio Kanoute na Isarael Mwenda akaingia nafasi ya Kibu Denis

Huu ni mchezo wa kwanza wa kujipima kwa Simba baada ya wiki mbili za mazoezi huko Uturuki

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’