Mshambuliaji wa Yanga Yusuph Athumani amejiunga na klabu ya West Armenia kwa mkopo wa msimu mzima
West Armenia ni miongoni mwa timu zinazoshiriki ligi kuu ya Armenia barani Ulaya
Klabu hiyo imemtambulisha Yusuph ambapo wamemkabidhiwa jezi namba 12
West Armenia pia imemsajili nyota mwingine kutoka Tanzania, Erick Mwijage aliyekuwa akiitumikia Kagera Sugar




