Mshambuliaji Yanga atua West Armenia

Joel JJ By Joel JJ β€’ 28th July 2023


Mshambuliaji Yanga atua West Armenia

Mshambuliaji wa Yanga Yusuph Athumani amejiunga na klabu ya West Armenia kwa mkopo wa msimu mzima

West Armenia ni miongoni mwa timu zinazoshiriki ligi kuu ya Armenia barani Ulaya

Klabu hiyo imemtambulisha Yusuph ambapo wamemkabidhiwa jezi namba 12

West Armenia pia imemsajili nyota mwingine kutoka Tanzania, Erick Mwijage aliyekuwa akiitumikia Kagera Sugar


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.