Yanga - Local

Yanga kupiga mechi mbili za kirafiki

Joel JJ By Joel JJ
β€’
28 Jul 2023
Yanga kupiga mechi mbili za kirafiki

Kikosi cha Yanga kinatarajiwa kucheza mechi mbili za kirafiki kabla ya kuikabili Azam Fc katika mchezo wa nusu fainali Ngao ya Jamii ambao utapigwa August 09 katika uwanja wa Mkwakwani

Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi ametaka dakika 180 kuwapima vijana wake tayari kwa mikiki mikiki ya Ngao ya Jamii, Ligi Kuu na michuano ya ligi ya mabingwa hatua ya awali ambayo itaanza mwezi August 2023

Yanga huenda ikamenyana na AS Vita katika moja ya mechi hizo ambazo zitapigwa Avic Town

Klabu ya AS Vita iko nchini Tanzani kwa ajili ya pre-season ambapo pia watacheza na Singida FG siku ya Jumatano ijayo kwenye Tamasha la Singida Day

Gamondi ameeleza kuridhishwa na kiwango kilichoonyeshwa na wachezaji wake katika mchezo dhidi ya Kaizer Chiefs, hata hivyo amesema mechi hiyo haitaoshi kuwapima vijana wake kama wako tayari kwa msimu mpya

"Nahitaji mechi mbili ili kuona ubora na mapunguifu kwa wachezaji wangu mechi moja haiwezi kunipa mwanga wa kuamini kuwa nina timu nziri na ya ushindani, mbele nina mechi ngumu ambayo itaamua njia yangu ya kuanza kupata mataji"

"Usajili uliofanyika kila mmoja ameona, ila mechi moja iliyochezwa haiwezi kuwa na majibu sahihi ya kuona mwanga wa kikosi ambacho kinahitaji kutetea mataji ambayo tulishinda msimu uliopita," alisema

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
3h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
3h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
4h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
7h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
11h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
11h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
12h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
12h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
13h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
14h ago
READ MORE β†’