Kikosi cha AS Vita kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, kimewasili mkoani Singida kwa ajili ya mchezo wa Singida Dy dhidi ya Singida Fountain Gate
Mchezo huo utapigwa siku ya Jumatano, August 02 katika uwanja wa LITI
Singida FG itatumia mchezo huo kutambulisha kikosi chake kwa ajili ya msimu wa mashindano 2023/24
AS Vita wameweka kambi ya siku 14 Tanzania kujiandaa na msimu mpya
Juzi walicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Namungo Fc mkoani Arusha na kukubali kipigo cha bao 1-0



