Kiungo mshambuliaji wa Yanga Skudu Makudubela amesema wamefanya maandalizi ya kutosha na wako tayari kwa mchezo wa nusu fainali Ngao ya Jamii dhidi ya Azam Fc ambao utapigwa Jumatano, August 09 katika uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga
..... download Xtra 90 App



