Ajibu atua Coastal Union

Joel JJ By Joel JJ β€’ 3rd August 2023


Ajibu atua Coastal Union

Klabu ya Coastal Union imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu aliyekuwa akiitumikia Singida FG

Ajibu ametua Coastal Union akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake wa mwanza mmoja na Singida FG kumalizika

Ameungana na aliyekuwa Kocha wake wakati yuko Yanga Mwinyi Zahera ambaye sasa ni Kocha wa Coastal Union

Zahera ndiye aliyependekeza usajili wa Ajibu akimtaja kama mchezaji mwenye kipaji zaidi nchini


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.