Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dk Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Simba Day ambalo litafanyika Jumapili, August 06 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Karibu kwenye kilele cha Wiki ya Simba. Karibu kwenye Simba Day, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan (@SuluhuSamia). Hii ni siku muhimu kwa Klabu ya Simba na wapenda michezo wote nchini Tanzania.
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) August 4, 2023
Tunakushukuru na tanakukaribisha kwa furaha kubwa isiyo na kifani. Kwa… pic.twitter.com/CTqZMV4qxl



