Azam Fc kujipima na Bandari F

Joel JJ By Joel JJ β€’ 5th August 2023


Azam Fc kujipima na Bandari F

Azam Fc leo inahitimisha mechi ya mwisho kujipima nguvu dhidi ya Bandari Fc ya Kenya

Mchezo huo utapigwa uwanja wa Azam Complex, saa 11 jioni

Hakutakuwa na mashabiki na pia mchezo huo hautarushwa mbashara ukiwa maalum kwa ajili ya benchi la ufundi zaidi kuangalia utayari wa kikosi chao kuelekea Ngao ya Jamii

Azam Fc itachuana na Yanga Jumatano ijayo kwenye mchezo wa kwanza wa nusu fainali Ngao ya Jamii


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.