Manchester United wanatumai kumuunganisha tena Benjamin Pavard, 27, na mchezaji mwenza wa zamani wa timu ya taifa ya Ufaransa, beki wa kati wa Mashetani Wekundu Raphael Varane, 30, kwa kutoa ofa ya euro 30m (£25.8m) kwa mlinzi huyo wa Bayern Munich. (L'Equipe)
..... download Xtra 90 App



