TFF yazitega Simba, Singida FG

Joel JJ By Joel JJ β€’ 10th August 2023


TFF yazitega Simba, Singida FG

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesisitiza kuwa klabu za Simba na Singida FG hazitaruhusiwa kutumia wachezaji wake wa kigeni katika michuano ya Ngao ya Jamii kama hazitawasilisha vibali

Taarifa iliyotolewa na TFF mapema leo, imebainisha kuwa Simba na Singida FG ambazo zitachuana baadae leo katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii, hazijawasilisha vibali

Timu hizo zinapaswa kuwasilisha vibali vya nyota wao wa kigeni ili kuweza kuwatumia katika mchezo huo


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.