Yanga - Local

Gamondi awanoa washambuliaji Yanga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Aug 2023
Gamondi awanoa washambuliaji Yanga

Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi amefanya kazi katika viwanja vya mazoezi kuhakikisha eneo la ushambuliaji linatumia vyema nafasi zinazotengenezwa

Yanga ilikuwa bora katika michuano ya Ngao ya Jamii iliyofanyika wiki iliyopita mkoani Tanga, lakini Wananchi walishindwa kutetea Ngao hiyo baada ya kushindwa kufunga bao katika dakika 90 za mchezo wa fainali dhidi ya Simba na kupoteza kwenye mikwaju ya penati

Baada ya kurejea Dar es salaam, kabla ya kuanza maandalizi ya mchezo wa awali ligi ya mabingwa dhidi ya Asas Fc, Gamondi alifanya kikao na washambuliaji wake

Mtihani wa kwanza kwa washambuliaji Hafiz Konkoni, Kennedy Musonda na Clement Mzize ni Jumapili katika mchezo dhidi ya Asas Fc

Hesabu za Gamondi ni kuona washambuliaji wanakuwa watulivu na kutumia nafasi kufunga mabao

"Tunacheza vizuri na kutengeneza nafasi nyingi, ila bado tunapoteza utulivu kidogo kumalizia kule mbele, ni jambo zuri tumeliona hili mapema, hivyo tunalifanyia kazi"

"Tunahitaji kuboresha kitu na hili sio la mtu mmoja ni kati ya makocha na washambuliaji, tunaamini kutakuwa na mabadiliko taratibu," alisema Gamondi

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
3m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
32m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’