Timu ya JKT Queens imeibuka mabingwa wapya wa Afrika Mashariki na Kati na kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake baada ya kuichapa CBE ya Ethiopia
JKT Queens wameibuka na ushindi kwa mikwaju ya penati 5-4 baada ya matokeo ya suluhu ya bila kufungana
JKT Queens wanakuwa timu ya pili kutoka Tanzania kutwaa ubingwa huo ambao msimu uliopita ulichukuliwa na Simba Queens




