JKT Queens mabingwa CECAFA

Joel JJ By Joel JJ β€’ 30th August 2023


JKT Queens mabingwa CECAFA

Timu ya JKT Queens imeibuka mabingwa wapya wa Afrika Mashariki na Kati na kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake baada ya kuichapa CBE ya Ethiopia

JKT Queens wameibuka na ushindi kwa mikwaju ya penati 5-4 baada ya matokeo ya suluhu ya bila kufungana

JKT Queens wanakuwa timu ya pili kutoka Tanzania kutwaa ubingwa huo ambao msimu uliopita ulichukuliwa na Simba Queens


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.