Kiungo Stars kucheza UEFA CL

Joel JJ By Joel JJ β€’ 1st September 2023


Kiungo Stars kucheza UEFA CL

Kiungo wa kimataifa wa Tanzania, Novatus Dismas Miroshi mwenye umri wa miaka 21 amejiunga na klabu ya Shakhtar Donesk ya Ukraine akitokea klabu ya Zulte Waregem ya Ubelgiji

Novatus atacheza UEFA Champions League akiwa na Shakhtar

Mabingwa hao wa Ukraine wapo kundi H pamoja na timu za Barcelona, Porto na Royal Antwer

Atakuwa Mtanzania wa pili kucheza michuano hiyo mikubwa zaidi kwa ngazi klabu barani Ulaya baada ya Mbwana Samatta aliyewahi kushiriki michuano hiyo akiwa na KRC Genk


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.