Simba - Local

Simba yapangwa na Al Ahly African Football League

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 Sep 2023
Simba yapangwa na Al Ahly African Football League

Droo ya michuano ya kwanza barani Afrika inayokutanisha vigogo African Football League imefanyika leo nchini Misri ambapo Wekundu wa Msimbazi Simba watachuana na mabingwa wa soka Afrika, Al Ahly

Mchezo wa ufunguzi utapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa, Oktoba 20 Simba ikiwa mwenyeji na mchezo wa marudiano kupigwa Oktoba 24 huko Misri

Michezo mingine, Enyimba watachuana na Wydad Athletic wakati TP Mazembe watachuana na Esperance

Mchezo wa nne wa robo fainali ni kati Petro Atletico dhidi ya Mamelodi Sundowns

Mshindi wa mchezo kati ya Simba dhidi ya Al Ahly atakutana na mshindi wa mchezo kati ya Petro Atletico dhidi ya Mamelod Sundows

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
15h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
21h ago
READ MORE β†’