Nahodha wa zamani wa Uhispania Sergio Ramos, 37, amepiga hatua katika mazungumzo ya kurejea kwake Sevilla miaka 18 baada ya kuondoka katika klabu hiyo na kujiunga na Real Madrid. Beki huyo aliondoka Paris St-Germain msimu huu wa joto wakati mkataba wake ulipomalizika. (ESPN)
..... download Xtra 90 App



