Rais wa Shirikisho la Soka Hispania, Luis Rubiales ametangaza kujiuzulu katika nafasi yake baada ya kuandamwa na tuhuma za unyanyasaji wa kijinsia baada ya kumbusu mdomoni mshambuliaji wa timu ya wanawake ya nchi hiyo, Jenni Hermoso
..... download Xtra 90 App



