Achana na matokeo ya mechi za jana za Ligi ya Mabingwa Afrika wakati Simba na Yanga zilipocheza ugenini Zambia na Rwanda, hapa Dar es Salaam leo jioni, Singida Big Stars ina jambo lake kwenye Uwanja wa Azam Complex wakati itakapoikaribisha Future ya Misri katika Kombe la Shirikisho
..... download Xtra 90 App



