Yanga yaichapa Namungo Fc 1-0

Joel JJ By Joel JJ β€’ 20th September 2023


Yanga yaichapa Namungo Fc 1-0

Yanga imerejea kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya NBC baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namungo Fc

Yanga ililazimika kusubiri mpaka dakika ya 88 kufunga bao la ushindi liliwekwa kambani na Mudathir Yahya aliyeingia kwenye kipindi cha pili

Mudathir alimalizia krosi ya chini kutoka kwa Yao Yao

Yanga imefikisha alama 9 na mabao 11 ya kufunga na hivyo kuiondoa Mashujaa Fc iliyokuwa kileleni mwa msimamo wa ligi na alama 7


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.