Mshambulizi wa timu ya taifa ya Uingereza Ivan Toney yuko tayari kuondoka Brentford mwezi Januari na klabu hiyo iko tayari kumwachia mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27, ambaye anatumikia marufuku ya miezi minane kwa kukiuka sheria za kamari za Shirikisho la Soka, aondoke ikiwa thamani yao ya £60m itaafikiwa. (The mirror on Sunday)
..... download Xtra 90 App



