Mkurugenzi wa michezo wa Arsenal Edu amefanya mazungumzo na wakala wa mshambuliaji wa Aston Villa Ollie Watkins kuhusu uhamisho wa mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza, 27, huku Chelsea pia ikimtaka mchezaji huyo. (Football Transfers)
..... download Xtra 90 App



