Ligi Kuu NBC kurejea Ijumaa

Joel JJ By Joel JJ β€’ 27th September 2023


Ligi Kuu NBC kurejea Ijumaa

Baada ya mapumziko ya takribani wiki moja, ligi kuu ya NBC inarejea siku ya Ijumaa ambapo mechi za mzunguuko wa nne zitaanza kutimua vumbi

Maafande wa JKT Tanzania watakuwa nyumbani kuumana na Kagera Sugar katika uwanja wa CCM Kambarage mkoani Shinyanga wakati Coastal Union itakuwa nyumbani kucheza mechi yake ya kwanza huko Tanga katika uwanja wa Mkwakwani dhidi ya Tabora United

Ligi hiyo itaendelea tena siku ya Jumamosi kwa mechi nyingine mbili kupigwa


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.