Yanga - Simba - Azam - Singida - Local

Ligi Kuu NBC kurejea Ijumaa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
27 Sep 2023
Ligi Kuu NBC kurejea Ijumaa

Baada ya mapumziko ya takribani wiki moja, ligi kuu ya NBC inarejea siku ya Ijumaa ambapo mechi za mzunguuko wa nne zitaanza kutimua vumbi

Maafande wa JKT Tanzania watakuwa nyumbani kuumana na Kagera Sugar katika uwanja wa CCM Kambarage mkoani Shinyanga wakati Coastal Union itakuwa nyumbani kucheza mechi yake ya kwanza huko Tanga katika uwanja wa Mkwakwani dhidi ya Tabora United

Ligi hiyo itaendelea tena siku ya Jumamosi kwa mechi nyingine mbili kupigwa

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’