Simba - Local

Simba yasaka tiketi CAF CL dhidi ya Power Dynamos

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Oct 2023
Simba yasaka tiketi CAF CL dhidi ya Power Dynamos

Tanzania iko kwenye nafasi nzuri ya kuwa na timu mbili kwenye hatua ya makundi ya michuano ya ligi ya mabinwa Afrika baada ya Yanga kukata tiketi jana kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Merrikh

Leo watani zao Simba nao watashuka uwanja wa Azam Complex katika mchezo muhimu ambao ushindi utaihakikishia Simba kwenda makundi

Sare ya mabao 2-2 waliyopata kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa Zambia, unaipa Simba nafasi nzuri zaidi ya kutinga makundi ikihitaji ushindi au hata matokeo ya sare isiyozidi bao moja

Akizungumza katika Mkutano na Wanahabari jana, Mkufunzi wa Simba Robertinho Oliveira alisema wamepata muda mzuri wa kufanya maandalizi hivyo ana matumaini makubwa ya ushindi leo

Pamoja na kumkosa beki kisiki Hennock Inonga Baka, Robertinho alisema tayari amemuandaa mchezaji wa kuchukua nafasi yake hivyo hakuna wasiwasi

Matumaini ya Wanasimba ni ushindi siku ya leo na kukata tiketi ya kutinga hatua ya makundi

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
1m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
30m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’