Makundi Ligi ya Mabingwa kupangwa leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 6th October 2023


Makundi Ligi ya Mabingwa kupangwa leo

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika klabu za Simba na Yanga leo watafahamu wapinzani wao wa hatua ya makundi

Droo ya hatua ya makundi itafanyika Afrika Kusini majira ya saa 9 Alasiri

Simba itakuwa Pot 2 wakati Yanga itakuwa Pot 3 kukiwa na nafasi ya timu hizo kupangwa kundi moja

Huu hapa mpangilio wa timu;


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.