Manchester City wanafahamu kuwa mshambuliaji wa Norway Erling Haaland ana nia ya kuichezea Real Madrid lakini wanataka kuanza mazungumzo kuhusu kuongeza mkataba wake, huku mkataba wa sasa wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 ukiendelea hadi Juni 2027. (ESPN)
..... download Xtra 90 App



