Yanga imebakiza mabao 45 tu katika mechi 25 zilizobaki Ligi Kuu ili ifikie rekodi yake ya ufungaji ya msimu uliopita, lakini tayari imejiwekea rekodi mpya ya kufunga idadi kubwa zaidi ya mabao katika raundi tano za mwanzo ambayo haikuwahi kuweka siku za nyuma huku mchango mkubwa ukiwa wa viungo Mudathir Yahya, Pacome Zouzoua, Maxi Nzengeli na Stephane Aziz Ki.
..... download Xtra 90 App



