Stars kuikabili Sudan mechi ya kirafiki

Joel JJ By Joel JJ β€’ 12th October 2023


Stars kuikabili Sudan mechi ya kirafiki

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kimeingia kambini kujiandaa na mchezo wa Kimataaifa wa kirafiki dhidi ya Sudan ambao utapigwa Oktoba 15 huko Saudi Arabia

Wachezaji Baraka Majorogo kutoka Chippa United ya Afrika Kusini na George Mpole kutoka FC Lupopo (DR Congo) ni miongoni mwa wachezaji wapya waliojumuishwa katika kikosi hicho

Kocha Mkuu wa Stars Adel Amrouche amewaita wachezaji walewale aliowatumia kwenye mchezo dhidi ya Aleria mwezi uliopita


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.