Simba - Yanga - Azam - Taifa Stars - Tanzania - Local

Samatta afunguka baada ya sare dhidi ya Sudan

Joel JJ By Joel JJ
16 Oct 2023
Samatta afunguka baada ya sare dhidi ya Sudan

Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Mbwana Samatta amesema mchezo wa kirafiki dhidi ya Sudan uliopigwa Saudi Arabia jana ni kipimo kizuri kuelekea mashindano makubwa

Jana Stars ililazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Sudan katika mchezo uliopigwa huko Saudi Arabia. Mchezo huo uko kwenye kalenda ya FIFA

Samatta alisema kabla ya mchezo huo kocha aliwaambia kuna vitu alitaka kuviona katika mchezo huo ambavyo vitamsaidia katika maandalizi kuelekea mashindano makubwa

"Nafikiri ni kipimo kizuri kwetu wachezaji na benchi la ufundi. Kabla ya mchezo kocha alituambia kuna vitu alitaka kuviona katika mchezo huu na naamini ameviona"

"Naamini utatusaidia katika maandalizi kuelekea mashindano makubwa yanayokuja mbele yetu," alisema Samatta

Mwezi Novemba 2023 Stars inakabiliwa na mechi mbili za kuwania kufuzu michuano ya kombe la Dunia dhidi ya Niger na Morocco kabla ya kuelekea Ivory Coast kwenye michuano ya Afcon 2023 mwezi Januari 2024

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
4h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
5h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
7h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
7h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
8h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
8h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
9h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
9h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
9h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
11h ago
READ MORE →