Yanga - Local

Aziz Ki amzawadia mpira Waziri

Joel JJ By Joel JJ
β€’
24 Oct 2023
Aziz Ki amzawadia mpira Waziri

Kiungo wa Yanga, Stephane Aziz Ki amemzawadia mpira Waziri wa Madini Mh. Antony Mavunde baada ya mchezo dhidi ya Azam Fc.

Azizi Ki amemzawadia Mavunde mpira aliopewa baada ya kufunga 'hat-trick' na kuiwezesha Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 katika mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa

Mavunde aliongozana na Rais wa Yanga Hersi Said kwenda kwenye vyumba vya kubadilishia nguo na ndipo staa huyo akampatia zawadi hiyo

Aziz Ki anakuwa mchezaji wa tatu kufunga 'hat-trick' Ligi Kuu Bara 2023/2024 akiungana na Feisal Salum ambaye naye alifunga kwenye mchezo kati ya Azam na Tabora United na Jean Baleke wa Simba akiifunga Coastal Union

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
46m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’