Mikiki mikiki ya Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi za mzunguuko wa saba zinaanza kupigwa
Maafande wa JKT Tanzania watakuwa uwanja wa Azam Comples kuikabili Tabora United katika mchezo utakaopigwa saa nane mchana
Saa 10 jioni Coastal Union watakuwa Mkwakwani kumenyana na wabishi, Mashujaa FC wakati Dodoma Jiji ikitarajiwa kumenyana na Kagera Sugar saa 3 usiku




