Mechi tatu Ligi Kuu NBC kupigwa leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 25th October 2023


Mechi tatu Ligi Kuu NBC kupigwa leo

Mikiki mikiki ya Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi za mzunguuko wa saba zinaanza kupigwa

Maafande wa JKT Tanzania watakuwa uwanja wa Azam Comples kuikabili Tabora United katika mchezo utakaopigwa saa nane mchana

Saa 10 jioni Coastal Union watakuwa Mkwakwani kumenyana na wabishi, Mashujaa FC wakati Dodoma Jiji ikitarajiwa kumenyana na Kagera Sugar saa 3 usiku


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.