Azam - Local - Transfer

Zaid aongeza mkataba Azam Fc

Joel JJ By Joel JJ
30 Oct 2023
Zaid aongeza mkataba Azam Fc

Azam Fc imemuongeza mkataba wa miaka miwili kiungo mshambuliaji wa timu hiyo Yahya Zaid

Zaid ni mmoja wa wachezaji waandamizi wa kikosi cha Azam Fc ambapo kwa nyakati tofauti alikwenda kucheza soka la kulipwa nchini Misri kisha kurejea tena Azam Fc

"Tumeingia mkataba mpya wa miaka miwili na kiungo wetu mshambuliaji, Yahya Zaid, utakaomfanya kuendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026," ilibainisha taarifa fupi ya Azam Fc

Zaid amekuwa mmoja wa wachezaji tegemeo katika kikosi cha Azam Fc msimu huu

More Stories

Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa uhuru
54m ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
57m ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
1h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
1h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
1h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
3h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
13h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
13h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
14h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
17h ago
READ MORE →