Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji Geita, Zahara Michuzi amemtaka Kocha Mkuu wa timu ya Geita Gold yenye maskani yake Mkoani Geita, Hemedi Suleiman, kufika ofisini kwake kwa lengo la kutolea ufafanuzi juu matokeo mabovu na sababu ya timu hiyo kutofanya vizuri
..... download Xtra 90 App



