Klabu ya Simba imelaani tukio la shabiki aliyevaa jezi ya Yanga kupigwa na mashabiki waliovaa jezi za Simba kwenye mchezo wa ligi kuu kati ya Simba dhidi ya Ihefu Fc uliopigwa hivi karibuni
Simba imeeleza kusikitishwa na tukio hilo lisilo la kiungwana na kutoa pole kwa mhusika aliyekumbwa na kadhia hiyo




