Yanga - Local - Coastal

Coastal Union vs Yanga hapatoshi Mkwakwani leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Nov 2023
Coastal Union vs Yanga hapatoshi Mkwakwani leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mchezo mmoja unatarajiwa kupigwa katika uwanja wa Mkwakwani

Mabingwa watetezi wa ligi hiyo Yanga watakuwa wageni wa Coastal Union katika mchezo unaosubiriwa kwa hamu na wakazi wa Tanga na maeneo ya jirani

Baada ya ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya watani zao Simba, Wananchi wanawania alama tatu nyingine mbele ya Wagosi wa Kaya

Hata hivyo hautakuwa mchezo mwepesi kwani Coastal Union hawajawahi kuwa wanyonge walipokutana na Yanga katika uwanja wa Mkwakwani

Coastal Union wamekuwa na mwenendo usioridhisha msimu huu wakishinda mchezo mmoja tu katika mechi nane walizocheza msimu huu

Pengne leo watahitaji kupambana zaidi ili kuweza kupata matokeo mazuri katika mchezo huo

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
15h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
21h ago
READ MORE β†’