Wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya CAF Women Champions League (CAFWCL) JKT Queens wanashuka dimbani leo mchezo wa mwisho wa kundi A kutafuta tiketi ya kucheza Nusu Fainali ya mashindano hayo
JKT Queens wapo nyuma ya Mamelodi wenye pointi (6) ambao tayari wameshafuzu
JKT Queens wakishinda leo watafikisha alama (6) na watakuwa wamefuzu moja kwa moja
Kama watatoka sare dhidi ya Sporting Club Casablanca itabidi wasubiri matokeo ya Athletico dhidi ya Mamelodi kujua hatma yao



