Yanga - Local

Gamondi aitaka robo fainali CAF CL

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 Nov 2023
Gamondi aitaka robo fainali CAF CL

Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi hana muda  wa kupoteza kwani kikosi chake kimeanza maandalizi ya mchezo wa  ligi ya Mabingwa hatua ya makundi dhidi ya CR Belouzdad

Yanga iko kundi D sambamba na mabingwa watetezi, Al Ahly ya Misri, CR Belouzdad ya Algeria na Medeama ya Ghana

Gamondi amepania kuipa Yanga mafanikio makubwa katika michuano hiyo akiamini timu yake ina wachezaji bora wanaoweza kushindana na timu yoyote barani Afrika

Kocha huyo raia wa Argentina amebainiha kuwa ubora wa kikosi chake unatokana na mambo mengi huku akitaja kuwajibika kwa kila mmoja kuwa ndio silaha yao kubwa

"Yanga kuanzia benchi la ufundi, wachezaji na viongozi tumekuwa wamoja hii ni njia bora na ya kujenga pamoja ili kuweza kufikia mafanikio jambo ambalo hadi tulipofikia sasa tunaona mwanga"

"Akili yote sasa imehamia kimataifa tunataka kuweka rekodi nyingine baada ya kutinga hatua ya makundi baada ya miaka 25 malengo sasa ni kusonga mbele zaidi kwa kucheza robo fainali," alisema Gamondi

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
15h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
21h ago
READ MORE β†’