Tuzo za CAF kwa mwaka 2023 zinatarajiwa kufanyika Disemba 11 huko Morocco katika Jiji la Marrakech
Yanga ni miongoni mwa timu 10 zilizotangazwa katika kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya timu bora ya mwaka
Mchujo umefanyia na kupata timu tano zitakazochauana kumpata mshindi, Yanga ikipenya katika mchujo huo
Yanga, USM Alger, Mamelodi Sundowns, Al Ahly na Wydad Athletic ndizo zilizovuka mchujo huo




