Yanga yapenya tano bora tuzo za CAF

Joel JJ By Joel JJ β€’ 17th November 2023


Yanga yapenya tano bora tuzo za CAF

Tuzo za CAF kwa mwaka 2023 zinatarajiwa kufanyika Disemba 11 huko Morocco katika Jiji la Marrakech

Yanga ni miongoni mwa timu 10 zilizotangazwa katika kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya timu bora ya mwaka

Mchujo umefanyia na kupata timu tano zitakazochauana kumpata mshindi, Yanga ikipenya katika mchujo huo

Yanga, USM Alger, Mamelodi Sundowns, Al Ahly na Wydad Athletic ndizo zilizovuka mchujo huo


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.