Simba yaifumua Dar City 4-0 mechi ya kirafiki

Joel JJ By Joel JJ β€’ 19th November 2023


Simba yaifumua Dar City 4-0 mechi ya kirafiki

Kikosi cha Simba kinaendelea na mazoezi Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Asec Mimosas utakaopigwa Jumamosi ijayo, Novemba 25 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Ikiwa ni sehemu ya maandalizi, Simba inayonolewa na makocha wa muda Daniel Cadena na Seleman Matola, leo ilicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Dar City

Simba iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 katika mchezo huo uliopigwa Mo Simba Arena

Mabao ya Simba yalifungwa na Che Malone, Willy Onana, Israel Mwenda na Moses Phiri


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.