Yanga yarejea kutoka Algeria

Joel JJ By Joel JJ β€’ 26th November 2023


Yanga yarejea kutoka Algeria

Kikosi cha Yanga kimerejea kutoka Algeria ambako juzi walicheza mechi ya kwanza ya hatua ya makundi dhidi ya CR Belouizdad na kupoteza kwa mabao 3-0

Wananchi wamerudi kujiandaa na mchezo unaofuata dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Jumamosi, Disemba 02 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Yanga inahitaji kushinda mchezo huo ili kuweka hai matumaini ya kufuzu robo fainali

Jana Al Ahly iliichapa Medeama bao 3-0 huko Misri sasa inaongoza kundi D ikiwa sawa na CR Belouizdad


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.