Droo ya raundi ya pili kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) imefanyika leo jijini Dar es salaam
Timu zote za Ligi kuu zitashiriki kuanzia raundi ya pili zikipangwa dhidi ya timu ambazo zilisonga mbele kutoka raundi ya kwanza
Mechi za raundi ya pili zitapigwa kati ya Dec 15 na Dec 17 2023

