Kiungo wa Azam Fc Feisal Salum 'Fe Toto' ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Ligi Kuu ya NBC kwa mwezi Novemba 2023 akiwashinda Kipre Junor na Maxi Nzengeli wa Yanga
Aidha tuzo ya Kocha bora imekwenda wa Bruno Fery pia wa Azam Fc akiwashinda Miguel Gamondi wa Yanga Herron Ricardo wa Singida FG
