Real Madrid wako tayari kumpa mshambuliaji wa Ufaransa na Paris St-Germain Kylian Mbappe kandarasi mwezi Januari kabla ya kumalizika kwa mkataba wake wa sasa msimu ujao, lakini wababe hao wa Uhispania watampa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 hadi Januari 15 kukubali au kukataa. (AS - In Spanish)
..... download Xtra 90 App



