Manchester United na Borussia Dortmund wanafanyia kazi mkataba wa kubadilishana ambao utamfanya winga wa Uingereza Jadon Sancho, 23, kurejea katika klabu hiyo ya Bundesliga - huku mshambuliaji wa Uholanzi, Donyell Malen, 24, akielekea upande tofauti. (Sport Bild - in German)
..... download Xtra 90 App



